Mercy achekelea penzi jipya





LAGOS, NIGERIA
NYOTA wa Nollywood, Mercy Johnson amekiri kufurahia maisha kwa sasa. Dada huyo anafurahia penzi jipya la Ayo Makun maarufu kama 'Ayas'.

Rafiki wa karibu wa Mercy amesema kuwa mwanamke huyo kwa sasa anafurahia maisha ingawa haijafahamika iwapo ataishi na mwanaume huyo au la.

"Kila mara anapokuwa na mwanaume huyo huwa wanacheka tu, nadhani wamepatana sana," alisema mtu huyo.

Ayas ambaye ni mwigizaji wa filamu za vichekesho pia alimshirikisha Mercy katika filamu yake mpya iitwayo 'AY Crib'. Filamu hiyo itakuwa hewani Oktoba Mosi mwaka hu

 
Sharks Video Production © 2012 | Designed by Eddie Sucre "TUNADESIGN BLOG ZA AINA ZOTE NA ZENYE UBORA KWA BEI POA KABISA, PIA TUNAUZA DOMAIN KWA ATAYEHITAJI CALL US TODAY 0658184797, 0752184797 OR 0653522520 "